WACHEZAJI WA KIGENI WA SIMBA WAANZA MAJARIBIO JIJINI DAR

 
 Wachezaji wa kigeni wa Simba kutoka katika nchi za Ivory Coast, DR Congo wameanza majaribio leo.

Kocha mpya wa Simba, Joseph Omog ndiye alikuwa akisimamia mazoezi hayo.

Wachezaji wawili kutoka DR Congo wameanza majaribio leo ambao ni beki na kiungo na mshambuliaji Cedrick Blagnon raia wa Ivory Coast.


Hata hivyo imekuwa ni vigumu kushuhudia mazoezi ya Simba kwa kuwa yanafanyika ndani ya uzio wa Jeshi la Polisi Kilwa Road jijini Dar es Salaam.
WACHEZAJI WA KIGENI WA SIMBA WAANZA MAJARIBIO JIJINI DAR WACHEZAJI WA KIGENI WA SIMBA WAANZA MAJARIBIO JIJINI DAR Reviewed by Unknown on 6:02 AM Rating: 5

No comments:

Theme images by Colonel. Powered by Blogger.