HATIMAYE ZIMBWE JR ATIA SAINI FOMU ZA SIMBA, AKUBALI UNDUGU WA MIAKA MIWILI IJAYO

Uongozi wa Simba umewashusha presha mashabiki wake baada ya kumsainisha tena beki wake Mohamed Hussein Zimbwe.




Zimbwe maarufu kama Tshabalala amesaini mkataba wa miaka miwili baada ya makubaliano yaliyofanyika wiki moja na nusu iliyopita.

Simba ilikubaliana na Zimbwe mbele ya baba yake mzazi na meneja wake, Herry Mzozo na leo ametia saini mbele ya Rais wa Simba, Evans Aveva.
HATIMAYE ZIMBWE JR ATIA SAINI FOMU ZA SIMBA, AKUBALI UNDUGU WA MIAKA MIWILI IJAYO HATIMAYE ZIMBWE JR ATIA SAINI FOMU ZA SIMBA, AKUBALI UNDUGU WA MIAKA MIWILI IJAYO Reviewed by Unknown on 10:00 AM Rating: 5

No comments:

Theme images by Colonel. Powered by Blogger.